MUM News and Events

Hongera sana Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Mussa Assad kwa usimamizi bora.

Posted on: 04 July, 2025
Kwa kipindi cha takribani Miaka 4 sasa amekuwa tayari kupambana kuhakikisha Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro kinakuwa sehemu bora kwa vijana wa Kitanzania kupata Elimu bora na Maadili.


Katika nafasi yako kama Makamu Mkuu wa Chuo (VC), Wataalamu wengi wamezalishwa hapa Chuoni na kulitumikia Taifa katika maeneo mbalimbali.

Tunamuomba MwenyeziMungu azidi kukupa Moyo wa kujitoa kuhakikisha Uhai na Ustawi wa Chuo unaimarika.