MUM News and Events

Tutaendelea kumuenzi Mkapa: MUM
Posted on: 03 September, 2020

Uongozi wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) umesema utaendelea kumuenzi aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Benjamini William Mkapa kwa mcha...

Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUMSO) wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Benki ya NMB nje ya jengo la tehama
Posted on: 19 August, 2020

NMB kujenga ATM ndani ya Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro


Serikali ya jumuiya ya wanafunzi wa chuo kikuu cha waislamu Morogoro (MUMSO) imeiomba Benki ya NMB kuwajengea kituo kidogo cha...

IIUM GLOBAL E-FORUM BLACK LIVES MATTER: GLOBAL RESPONSES
Posted on: 10 August, 2020

Dear Brothers and Sisters,


Assalam alykum warahmatullahi wabarakaatuh!


You are warmly invited to the Zoom meeting onTeaching and Learning for Educational Management Principles from the Hol...

MUM yatoa salamu za rambirambi kifo cha aliyekuwa raisi wa awamuya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Benjamin William Mkapa
Posted on: 25 July, 2020

SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA ALIYEKUA RAIS WA AWAMU YA TATU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. BENJAMIN WILLIAM MKAPA.

Kwa niaba ya jumuiya  ya wafanyakazi na wanafunzi wa Chuo Kikuu...

Raisi wa Serikali ya wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Wislamu cha Morogoro (wa pili kushoto) akiwa na wajumbe wake baada ya kuapishwa.
Posted on: 22 July, 2020

Rais mteule wa serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu cha waislamu cha morogoro  Hamis Juma Hamis ameapishwa July 21 baada ya uchaguzi uliofanyika july 19 mwaka huu.

Hamis ameshinda kwa kura 703, dhid...