Licha ya kutokuwa na Mikono, haikuwa sababu ya kutosha Binti huyu Chekeni kushindwa kupambania Malengo yake.
Hakika sisi Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro na Wadau wengine tupo pamoja nawe k...
Balozi Dkt. Ramadhan Dau (katikati mstari wa nyuma) katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro mbele ya Jengo la Utawala alipofika Chuoni hapa.
Wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro kwa kipindi chote wamekuwa pamoja kuhakikisha wanafunzi wetu wanatimiza Malengo yao na Taifa kwa Jumla.